blog
Jitihada za Kufanikisha Ukuaji wa Matumizi ya Intaneti Tanzania: Elimu na Haki za Mtumiaji
summary
Takwimu za mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA), zinaonyesha kuwa watumiaji wa intaneti wanaongezeka kwa kasi kubwa sana nchini Tanzania mpaka kufikia watumiaji 34,469,022 kwa mwaka 2023, kutoka watumiaji 23,808,942 kwa mwaka 2018 kukiwa na ongezeko la watumiaji 10,660,080 ndani ya miaka mitano. Licha ya kuwa na ongezeko kubwa la watumiaji wa intaneti kati ya watumiaji hao, ni asilimia ndogo sana wanaojua namna ya kutumia intaneti kwa usahihi na manufaa zaidi.